Acts 9:3-6
3 aBasi akiwa katika safari yake, alipokaribia Dameski, ghafula nuru kutoka mbinguni ikamwangaza kotekote. 4 bAkaanguka chini, akasikia sauti ikimwambia, “Sauli, Sauli, mbona unanitesa?” 5 cSauli akajibu, “U nani wewe, Bwana?” Ile sauti ikajibu, “Mimi ni Isa unayemtesa.” 6 d“Sasa inuka uingie mjini, nawe utaambiwa yakupasayo kutenda.”
Copyright information for
SwhKC